Diamond, Nandy Jukwaa Moja na Idris Elba mei 25

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nyota wa muziki nchini, Diamond Platnumz na Nandy wamejumuishwa kwenye orodha ya wasanii wengine wakubwa Afrika katika tamasha la kuchangisha fedha ili kusaidia waathirika wa corona.

Alex Okosi ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji anayehusika na YouTube, amesema tamasha hilo linaloitwa Africa Day Benefit Concert litafanyika Mei 25, mwaka huu na kuruka mubashara MTV Base huku mwigizaji wa Uingereza, Idris Elba akisherehesha tukio zima.

Mbali na wasanii hao kutoka Bongo, mastaa wengine watakaoshiriki tamasha hilo ni Sho Madjozi, AKA, Burna Boy, Sauti Sol, Yemi Alade, Teni,Toofan, Bebe Cool, Tiwa Savage, Stone Boy, Rema, Fally Ipupa na wengine kibao.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad