AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Bila hii corona April 26 mwaka huu Kenyatta alipanga aje asherehekee na Watanzania Muungano, alipanga awe na ziara ya muda mrefu hapa TZ kuliko Rais yeyote, uamuzi ambao Kenya imechukua kuhusu safari za mipakani sio kwasababu ya Tanzania bali adui yetu ni kirusi”-Balozi Kazungu
“Hakuna Mkenya anayemuombea mabaya Mtanzania, Wakenya tunawaombea Watanzania mpigane na janga hili, na sisi pia mtuombee, tusianze kukorogwa na kirusi hiki, tusianze kugongana kisa corona, Watu watulie, Viongozi wetu watakutana na tutalimaliza” -Balozi Kazungu
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Balozi Kazungu pls... We understand your Gov positions.
ReplyDeleteSisi NI wamoja. Isie escalation into Mitandao na kuanzia kujibizana. MAADUI WATAKAO FURAHIA NA KUYAVALIA NJUGA NI WENGI.
NAOMBA HII IWE NI MWISHO I CASE OF ANY BILATERAL COMMUNICATION
IS DEEMED NECESSARY KABUDI NDUBARO THEY ARE THERE NI WATU WENYE BUSARA NA WASTAARABU.
PRES UHURU NI NDUGU YETU NA TUMEOANA KENYA NA TANZANIA Will never be apart in all senses.
CORONA IS OUR COMMON ENEMY EVERY ONE OF US HAS THE RIGHT TO EXCERCIZ ANY MEASURES THAT DEEMED AS FIT ITS SOCIETY. WATENDAJI NA WAHABARISHAJI YA UHUSIANO WETU WA KINDUGU TUMIENI BUSARA ZENU.