Madereva 19 waliotangazwa wana Corona Kenya, wakutwa Negative DSM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo ametangaza kuwa madereva 19 waliotoka Tanzania, wakapimwa mpakani Namanga na Serikali ya Kenya kutangaza kuwa wana corona wamepimwa upya kwenye maabara Kuu ya Taifa Dar es salaam na kubainika kuwa hawana virusi hivyo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad