AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo ametangaza kuwa madereva 19 waliotoka Tanzania, wakapimwa mpakani Namanga na Serikali ya Kenya kutangaza kuwa wana corona wamepimwa upya kwenye maabara Kuu ya Taifa Dar es salaam na kubainika kuwa hawana virusi hivyo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK