AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapa Roozey Rich Forever, ametakiwa na Mahakama kutoa pesa kwa ajili ya matunzo ya watoto wake wawili aliozaa na ex-girlfriend wake Briana Camille .
.
Kwa mujibu wa nakala za mahakamani zilizochapishwa na mtandao wa BOSSIP , vithibitisho vyote ikiwepo Vipimo vya DNA vinaonyesha kua Rozzey ndio baba wa watoto hao, hivyo hana namna zaidi ya Kuchukua majukumu ya kuwahudumia . .
.
Rozzey na Briana walikua wapenzi kwa muda mrefu, kabla ya kuhitalifiana na Rozzey kuamua kumfukuza kwenye Jumba lake akiwa na watoto wawili , na kwa Mujibu wa Briana , Rozzey hajatuma pesa yoyote tangu mwezi February mwaka huu.
Wawili hao walikua na kesi juu ya matunzo ya watoto mahakamani, ambapo moja ya vithibitisho vilivyokua vinasubiriwa ni kipimo Cha DNA ambacho tayari kimethibitisha kua Rozzey ndio baba wa watoto hao .
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK