Sakala la Babu Tale na Sallam SK Kutoelewana...Suma Lee Afunguka Yote...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kupitie Interview Yake Alie Kua Msanii wa Bongofleva Jina Suma Lee/Hakunaga Katika Kipindi Cha Wasafifm Maojiano na Mtangazaji Lil Ommy, Hakuna Amesame Haya:-

"Utofauti wa Babutale na Sallam Ulikuwepo Mkubwa Sana, Kwa Sababu Lugha Ambozo Anaziongea Babutale Sallam Yeye Hazielewi, Vitu Ambavyo Mfumo Anataka Apite Babutale Sallam Yeye Alikua Havielewi, Yani Walikuwa ni Watu Ambao Wakikutana Wakiongea Dakika Mbili, Huyu na Huyu Amuelewi Mwenzie"
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad