AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
NI Headlines za Mtayarishaji wa muziki kutokea nchini Kenya aitwae Magix Enga ambae ameingia tena kwenye vichwa vya habari baada ya kusababisha kuondolewa kwa video ya rapper wa Marekani aitwae Tekashi 6ix9ine, ‘Gooba’ kupitia mtandao wa Youtube
Mtayarishaji huyo alimshtumu msanii huyo wa Marekani kuwa amesample mdundo wake na shtuma hizo zikawafikia Youtube kisha waliiondoa baada ya kupokea ripoti hiyo.
Miongoni mwa mitandao maarufu nchini Marekani iliyoandika taarifa hiyo ukiwemo XXL uliripoti kuwa video ya Tekashi 6ix9ine, iitwayo ‘Gooba’ imeondolewa Youtube baada ya Mtayarishaji kutokea Kenya Megax Enga kuwa amewasilisha madai yake ameibiwa kazi yake
Huu ndio muonekano wa video ya 6ix9ine baada ya Megix Enga kuwasilisha madai yake kuibiwa na ukiifungua video hiyo inakuandika hivyo
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK