Idadi Watahiniwa kidato cha 6 na Ualimu yatolewa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania Dkt Charles Msonde, amesema jumla ya watahimiwa 85,546 ndio waliosajiliwa kufanya mitihani ya kidato cha sita na ualimu inayotarajiwa kuanza nchi nzima hapo kesho Jumatatu Juni 29, 2020.

Msonde amesema maandalizi yote yameshakamilika na kupitia mtihani huo watahiniwa hao ndio watakuwa wanapimwa uelewa wao katika masomo waliyokuwa wakisoma.

Aidha baraza pia limezitaka kamati za mikoa za kusimamia mitihani kuhakikisha wanasimamia mitihani hiyo na kusitokee udanganyifu wowote kwa watahiniwa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad