John Mrema Afunguka "Katibu Tawala aliyetumbuliwa tulimtimua Chadema kwa makosa ya utovu wa nidhamu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itikadi, Uenezi na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema amesema Katibu Tawala (DAS) Wilaya ya Kisarawe, Mtale Mwampamba,  ambaye uteuzi wake umetenguliwa leo na Rais John Magufuli walimtimua Chadema kwa makosa ya utovu wa nidhamu mwaka 2013.

“Picha ni DAS wa Kisarawe Mtela Mwampamba ambaye uteuzi wake umetenguliwa leo na Rais kwa tuhuma za kutembea na wake za watu,” alindika Mrema katika ukurasa wake wa Twitter.

“Aliyekuwa kulia kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo. Mtela alifukuzwa uanachama wa Chadema na Bavicha kwa makosa ya utovu wa nidhamu 2013,” aliandika Mrema
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad