Mfahamu Mtu Mwenye Tattoo Nyingi Duniani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Lucky Diamond Rich (49), ndiye mtu mwenye michoro (Tattoo) mingi mwilini mwake kwa rekodi ya mwaka 2019
-
Mbali na michoro aliyonayo, pia ametoboa masikio na kuyavuta (kama Wamasai), na meno yake ameweka madini ya fedha (Silver), pia amejitoboa sehemu kadhaa za mwili wake
-
Alianza kujiweka michoro mwilini mwake akiwa na umri wa miaka 16, kwa kuwa kazi yake ni maonyesho aliendelea kujichora hadi akawa mtu anayeshikilia rekodi ya kuwa na michoro mingi
-
Alimaliza kujichora mwili wake akiwa na umri wa miaka 28 na akaanza kuboresha michoro aliyo nayo
-
Lucky hajajiweka michoro mipya kwa takriban miaka 6 na bado hakuna aliyekuja kuvunja rekodi yake
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad