AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lucky Diamond Rich (49), ndiye mtu mwenye michoro (Tattoo) mingi mwilini mwake kwa rekodi ya mwaka 2019
-
Mbali na michoro aliyonayo, pia ametoboa masikio na kuyavuta (kama Wamasai), na meno yake ameweka madini ya fedha (Silver), pia amejitoboa sehemu kadhaa za mwili wake
-
Alianza kujiweka michoro mwilini mwake akiwa na umri wa miaka 16, kwa kuwa kazi yake ni maonyesho aliendelea kujichora hadi akawa mtu anayeshikilia rekodi ya kuwa na michoro mingi
-
Alimaliza kujichora mwili wake akiwa na umri wa miaka 28 na akaanza kuboresha michoro aliyo nayo
-
Lucky hajajiweka michoro mipya kwa takriban miaka 6 na bado hakuna aliyekuja kuvunja rekodi yake
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK