Mwijaku "Tanasha na Diamond Wamenisamehe, Mke Wangu Anajua Nacheat Hakuna Mwanaume wa Peke yake"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa Bongo movie na Mtangazaji wa Cloudstv @mwijaku ameweka wazi kuwa tayari @tanashadonna amemsamehe na ameeleza kuwa hakumuelewa alichokuwa a amaanisha.

Mbali na hilo @mwijaku ameeleza kuwa huwa ana msaliti mke wake kwa sababu mke wake anajua kuwa hakuna mwanaume wa pekee yako.

Alipoulizwa vipi kuhusu mke je ni wa pekee yako au laah alisema kuwa mke hachangiwi ila wanaume hawaridhiki na mwanamke mmoja. Pia ameweka wazi kuwa mwaka huu atagombea Ubunge katika jimbo la Kazulumimba mkoani KIGOMA au KAWA jijini DAR ES SALAAM.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad