AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Juzi (June 8) Nyota ya Rais Donald Trump kwenye Hollywood Walk of Fame iliharibiwa vibaya kwa kuchorwa kwa juu na rangi nyeusi na kuandikwa ujumbe wa 'Black Lives Matter' na pia mtu mmoja kuacha kinyesi cha Mbwa kwenye mfuko katikati. SWIPE
Huu ni muendelezo wa uharibifu mkubwa kwenye nyota hiyo ya Rais wa Marekani ambapo imekuwa ikiharibiwa mara kadhaa kwa watu kuibomoa hadi kupelekea kuwekewa ulinzi mkali. Uharibifu wa safari hii umekuja kufuatia maandamano yanayoendelea nchini humo kupinga ukatili wa polisi dhidi ya jamii ya watu weusi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK