Nyota ya Rais Trump Kwenye Hollywood Walk of Fame Yaharibiwa Waacha Kinyesi Cha Mbwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Juzi (June 8) Nyota ya Rais Donald Trump kwenye Hollywood Walk of Fame iliharibiwa vibaya kwa kuchorwa kwa juu na rangi nyeusi na kuandikwa ujumbe wa 'Black Lives Matter' na pia mtu mmoja kuacha kinyesi cha Mbwa kwenye mfuko katikati. SWIPE

Huu ni muendelezo wa uharibifu mkubwa kwenye nyota hiyo ya Rais wa Marekani ambapo imekuwa ikiharibiwa mara kadhaa kwa watu kuibomoa hadi kupelekea kuwekewa ulinzi mkali. Uharibifu wa safari hii umekuja kufuatia maandamano yanayoendelea nchini humo kupinga ukatili wa polisi dhidi ya jamii ya watu weusi.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad