Petit Man: Nimeachana na Esma ila atabaki Kuwa Mzazi Mwenzangu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Petit Man wakuache ambae ni Mzazi Mwenza Esma  dada wa msanii Daimond Platinum ameweka Wazi Kuhusu Mahusiano Yake Na Mzazi Mwenza Wake  Kwasasa Baada Ya Kuwepo Na Story Nyingi Juu Yao

Petit Man wakuache Alipokuwa Akifanyiwa Interview Na Kituo Cha Radio Cha TIMESfm Amesema

''Mimi Na Esma Platnumz Hatuko Pamoja Muda Mrefu Sana Sasa Yeye Ni Mzazi Mwenzangu Na Itabaki Kuwa hivyo Tu, Nipo Kwenye Mahusiano Kwa Muda Mrefu Tu, Nachoweza Kuwaambia Ma Ex Wangu Wote Ni Mungu Awabariki''
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad