Vijana Wakimya Wanabahati Sana ya Kupendwa na Wasichana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nimekuja kugundua wanawake hawapendi sana mwanaume mjuaji. Kuna watu wakimya sana hata akilewa yeye huwa anatabasamu tu, basi wewe utaongeeaaa, utapiga storiii na kujifanya kila kitu unajua lakini utashangaa mwisho wa siku aliyeenda kugegeda ni jamaa aliyekua hajachangia hata sentesi moja kwenye kiringe.

Na wala huwezi jua amemtongoza huyo msichana saa ngapi, nimejaribu hii kitu imenishinda aisee, yaani Safari zikishafika tatu tu, yaani naongea mpaka mishipa ya kichwa inanitoka.

Kwa kweli ukimya ni kipaji.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad