Zamaradi: Waigizaji Wenyewe Wameua Bongo Muvi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MTANGAZAJI maarufu Bongo, Zamaradi Mketema,  amesema kilichoua sanaa ya Bongo Muvi ni waigizaji wenyewe kwa kutochukulia ‘serious’ kazi hiyo.

Akizungumza kupitia kipindi cha Front Page kinachorushwa na +255GlobalRadio mapema leo Juni 26, 2020 Zamaradi alisema, mbali na kukosekana kwa wasambazaji wakubwa wa filamu, wasanii wenyewe wameshindwa kuwa na umakini katika kazi hiyo na kusababisha soko liyumbe.

“Soko la filamu limeyumba na limeshuka sana na ndiyo maana huwezi kuona soko la DVD kama zamani, watu wamehamia kwenye tamthiliya.

“Makosa si kwa sababu ya kuondoka Kanumba, Kanumba alikuwa aggressive lakini kilichofelisha filamu ni wanafilamu wenyewe,” alisema Zamaradi na kuongeza:

“Makosa yametokana na sisi wenyewe, watu wakawa wamezoea hali. Mtu katoka Iringa, anataka kucheza mwenyewe filamu, na watu wa filamu si kwamba wana njaa bali wanaziendekeza njaa, wanachukua hela na kufanya filamu ambazo hazina ubora.”

Zamaradi amefunguka mengi kupitia +255GlobalRadio unaweza kuisikiliza radio hiyo ya mtandaoni kwa kupakua APP ya Global Publishers lakini pia, unaweza kutazama mahojiano hayo na mengine mengi kupitia Global TV Online inayopatikana YouTube.

 


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad