Madereva wa Mabasi Waliokuwa Wanakimbizana Banda ya Kubet Kimenuka........

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Fortunatus Muslimu amesema Sheria inampa uwezo wa kuwaondolea sifa wa kuendesha magari ya mizigo na biashara kwa miezi 6

Ameyasema hayo akiwa anazungumzia tukio la hivi karibuni la video iliyosambaa ikionyesha Mabasi ya kampuni ya Rungwe Express na Happy Nation yakishindana barabarani

Kamanda amesema, Madereva hao walikuwa wame-beti na tayari wote wamekatwa huku mmoja alikamatwa Dar es Salaam na mwingine Iringa

Aidha, amesema wanamtafuta mtu aliyekuwa anahamasisha tukio hilo. Amesema kwa mujibu wa Sheria 111 ya Sheria za usalama barabarani, sura ya 168 inasema yeyote atakayeonekana anahamasisha madereva kuvunja sheria, anavunja sheria


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad