Alikiba, Diamond Wakutana CCM Dodoma

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


WASANII nguli wa Bongo Fleva, Alikiba na Diamond Platnumz, ni miongoni mwa wasanii walioalikwa na kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambao unafanyika leo, Jumamosi, Julai 11, 2020, jijini Dodoma.

Diamond ameongozana na wasanii wake wa Lebo ya Wasafi (WCB) akiwemo Rayvanny, Mbosso, Zuchu Queen Darleen, Lavalava, dansa wake Mose Iyobo, mameneja wake, Mkubwa Fella, Babu Tale na Sallam SK.

Aidha, ameonekana katika picha akiwa na Bilnas na Marioo wakiwa Dodoma katika Mkutano Mkuu wa Taifa wa CCM.

Mbali na wasanii hao, wengine ni Msanii wa Mashairi, Mrisho Mpoto na wengine kibao wakiwemo wa Bongo Movies akiwemo Dude na tasnia nyingine.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad