Arsenal Waiadhibu Man City Hao Fainali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Club ya Arsenal leo imecheza game ya nusu fainali ya Kombe la FA dhidi ya Man City katika uwanja wa Emirates.

Mchezo huo ambao mshindi ndio alikuwa anatinga kucheza fainali ya FA Cup, Arsenal walifanikiwa kushinda 2-0 kwa magoli yaliofungwa na Pierre Emerick-Aubameyang dakika ya 19 na 71.

Mvuto wa mchezo huu ulikuwa zaidi kwa makocha wa timu hizo ambapo kocha wa Man City Pep Guardiola alikuwa anakutana na Kocha wa Arsenal Mikel Arteta ambaye ni msaidizi wake wa zamani.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad