Irene Uwoya Afungwa Mdomo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MWANAMAMA wa Bongo Movies, Irene Uwoya amesema, maneno ya kuudhi anayokutana nayo mitandaoni yamemfunga mdomo.

 

Uwoya ameliambia Gazeti la IJUMAA WIKIENDA kuwa, watu wa kwenye mitandao, hata kama hutaki kuzungumza nao, watakufanya ujue maneno mbalimbali ya kuwakera kutokana na tabia zao za kuudhi.

“Watu wengi wananishanga sana siku hizi, wanasema nimekuwa na maneno.

 

“Ukweli ni kwamba wamenifundisha wao kuongea maana nilikuwa sina tabia ya maneno na mtu kabisa, lakini wananitafuta kama wanajua ukoo wangu, inaumiza sana,” alisema Uwoya ambaye sasa ameamua kufunga mdomo


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad