AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa kilimo wa Zimbabwe Perrance Shiri, amefariki Dunia asubuhi ya leo akiwa hospitali anapatiwa matibabu, Rais Emmerson Mnangagwa amethibitisha leo asubuhi.
“Shiri alikuwa mzalendo wa kweli, aliyejitolea maisha yake kwa ukombozi, uhuru na huduma ya nchi yake,” ameongea Rais wa Zimbabwe Mnangagwa katika taarifa yake japo hakusema chanzo cha kifo.
Shiri alikuwa Jenerali mstaafu ambaye alisaidia kupanga njama ya kufukuzwa kwa Robert Mugabe katika mapinduzi ya 2017.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK