Msanii Timbulo Afunguka Siri ya Baba yale "Baba Yetu Alituzaa 46, Kwa Wake Tofauti"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa BongoFleva Timbulo amefunguka kuwa huwa anamuona baba yake kama babu yake kwa sababu kwao wamezaliwa watoto wengi sana hadi kufikia hatua ya mzazi wake huyo kuwachanganya na watoto wengine.


Timbulo amesema kwao walizaliwa jumla ya watoto 46 kwa mama tofauti japo wengine wameshafariki, baba yake alikuwa na wake wanne na kwa upande wa mama yake yeye ni mtoto wa mwisho kati ya 13 waliozaliwa baba mmoja na mama mmoja.

"Baba yangu alikuwa na watoto wengi hadi kuna muda alikuwa anatuchanganya, tulizaliwa 46 kwa wake zake wanne tofauti, mimi mpaka najitambua tulikuwa tupo 34 japo kuna wengine walitangulia mbele za haki, mimi kwa upande wa mama yangu tulizaliwa watoto 13 na mimi ndiyo nilikuwa wa mwisho, mimi naona kama ni mjukuu kwa baba yangu kwa sababu alikuwa amezeeka" ameeleza Timbulo
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad