AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mimi najikuta nataka nimpotezee lakini kila nikitongoza naambiwa ninae mtu, wewe ni muongo na neno linaloniumiza zaidi la "wewe unaye mtu." na cha ajabu hawajui chochote kuhusu mimi wala kama nina mtu
Na mtoto kaniganda mara anasema nikimaliza tu chuo unanioa. Aisee sijui nifanyeje kila nikitongoza nakataliwa na haikuwa kawaida yangu, kwa wiki nilikuwa nakula wanawake Wanne... Mpaka leo nimetimiza idadi ya wadada kumi wakichaga wananikataa. toka niwe naye
Naomba ushauri please
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK