AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam @baba_keagan Ijumaa hii ambayo waumini wa dini ya kiislamu duniani kote wanasherekea Eid, alipost picha mtandaoni akifanya mazungumzo na mlemavu mmoja ambaye hakutambulika jina lake mara moja.
Picha hizo ilizalisha mijadala mingi, ila mmoja kati ya watu ambao mtandaoni anatumia jina la S Zakwani aliandika ujumbe wa kutaka kumsaidia mlemavu huyo baiskeli mpya.
“Mheshimiwa nijulishe huyu mtu yupo wapi nimsaidie baiskeli mpya” aliandika kijana huyo ambaye hakuweka wazi anapatikana wapi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK