AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa Maliasili na Utalii Dr. Hamis Kigwangalla leo July 1, 2020 amefanya mahojiano na kituo cha TV cha Clouds TV ambapo hapa nakusogezea nukuu mbili alizoongea leo.
“Rais Dkt John Magufuli akikupenda sana atakutoa kwa heshima atakusemea mambo mengine hayo mengine hayasemi na ukiona upo kwenye wizara muda mrefu ujue yeye na vyombo vyake wanakufuatilia hadi wanajiridhisha huyu mtu hapigi pesa” -Hamisi Kigwangalla
“Kuna vingi unatarajia vifanyike kwenye Utalii ila kuna taratibu za Serikali zitakuzuia tu,utatamani utoe tiketi 5 lakini utaulizwa hizi tiketi zilikuwa kwenye bajeti gani,kifungu gani tayari utaambia matumizi mabaya ya ofisi tayari ni tatizo pale”– Hamis Kigwangalla
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK