AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MATOKEO ya kura za maoni kwa wagombea nafasi za Ubunge na Uwakilishi kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) ambayo yameanza kutangazwa leo yameonyesha baadhi wa vigogo wa kisiasa visiwani unguja wameangushwa akiwemo Saada Mkuya Salum akigombea jimbo la Kikwajuni.
Mbali na Saada Mkuya aliyeshindwa na Nassor Salim Ali katika nafasi ya Uwakilishi ambaye alipata kura 34 huku yeye akipata kura tisa mwingine aliyeangushwa katika kura hizo za maoni ni Mattar Ali Salum ambae alikuwa Mbunge wa Jimbo la Shauri Moyo Unguja.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK