Sada Mkuya aangukia pua kura za maoni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MATOKEO ya kura za maoni kwa wagombea nafasi za Ubunge na Uwakilishi kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) ambayo yameanza kutangazwa leo  yameonyesha baadhi wa vigogo wa kisiasa visiwani unguja  wameangushwa akiwemo Saada Mkuya Salum akigombea jimbo la Kikwajuni. 


Mbali na Saada Mkuya aliyeshindwa na Nassor Salim Ali katika nafasi ya Uwakilishi ambaye alipata kura 34 huku yeye akipata kura tisa mwingine aliyeangushwa katika kura hizo za maoni ni Mattar Ali Salum ambae alikuwa Mbunge wa Jimbo la Shauri Moyo Unguja.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad