Ugonjwa Uliosababisha Kifo Cha Rais Mstaafu Mkapa Watajwa na Msemaji wa Familia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



"Mzee wetu Mkapa, kilichosababisha kifo chake ni Mshituko wa moyo, alijisikia vibaya tukampeleka hospitali ikagundulika ana malaria, lakini alikuwa vizuri tu siku hiyo alikuwa akifuatilia chaguzi za wabunge viti maalum CCM, baadae alizidiwa akainama na walipokuja kumpima waligundua amefariki dunia, na kilichosababisha Ni mshtuko wa moyo, tumesema hivi kwa sababu Kuna maneno yanazagaa kwenye mitandao ya kijamii huko, Ni uzushi" amesema Willium Erio Msemaji wa familia

Nawafahamisha Watanzania wote kuwa Mzee wetu alikuwa hajisikii vizuri, baada ya vipimo aligundulika kuwa na Malaria. Alirejea nyumbani akaketi kwa ajili ya kufuatilia habari baada ya kusikiliza taarifa ya habari alitaka kuinuka, baada ya kuinuka akashindwa akakaa na kuinamisha kichwa, alipoinamisha kichwa hakuinuka tena mpaka alipopimwa na kugundulika kuwa amepoteza maisha.
Mzee alithibitika kwamba amefariki, alipata mshtuko wa moyo (Cardiac Arrest)
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad