Waziri Mwakyembe Chali Kura za Maoni Jimbo la Kyela Mkoani Mbeya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo Dk. Harrison Mwakyembe, amekuwa mshindi watatu katika uchaguzi wa kura za maoni katika jimbo la Kyela lililopo mkoani Mbeya.

Mwakyembe ambaye alitia nia ya kutetea jimbo la Kyela ambalo amekuwa akiliongoza alipata kura 252 katika matokeo ya uchaguzi uliofanyika jana.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad