AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mahakama ya Wilaya ya Tarime imemuadhibu kifungo cha maisha Jela mfanyakazi wa nyumbani, Magige Thomas (21) baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mtoto wa kiume wa mwaka 1 na miezi 5
Mwendesha Mashtaka wa Polisi, Inspekta Salum, alidai Magige alitenda unyama huo Agosti 5, 2019 mchana, wakati wazazi wa mtoto huyo wapokuwa kazini
Upande wa mashtaka ulipeleka mashahidi 4 na kuithibitishia Mahakama kuhusiana na kitendo hicho ikiwamo taarifa za Polisi (PF3), mganga na wazazi huku upande wa utetezi ukiwa bila shahidi
Wataalamu wa Saikolojia wanasema ongezeko la matukio ya ukatili dhidi ya watoto nchini yanachagizwa na mambo mengi zikiwamo imani za kishirikina na jamii kutokuwa na hofu ya Mungu
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK