Ahukumiwa Kifungo Cha Maisha Kwa Kumlawiti Mtoto wa Mwaka Mmoja

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mahakama ya Wilaya ya Tarime imemuadhibu kifungo cha maisha Jela mfanyakazi wa nyumbani, Magige Thomas (21) baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mtoto wa kiume wa mwaka 1 na miezi 5

Mwendesha Mashtaka wa Polisi, Inspekta Salum, alidai Magige alitenda unyama huo Agosti 5, 2019 mchana, wakati wazazi wa mtoto huyo wapokuwa kazini

Upande wa mashtaka ulipeleka mashahidi 4 na kuithibitishia Mahakama kuhusiana na kitendo hicho ikiwamo taarifa za Polisi (PF3), mganga na wazazi huku upande wa utetezi ukiwa bila shahidi

Wataalamu wa Saikolojia wanasema ongezeko la matukio ya ukatili dhidi ya watoto nchini yanachagizwa na mambo mengi zikiwamo imani za kishirikina na jamii kutokuwa na hofu ya Mungu
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad