AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya kuachiwa huru rasmi rapper Tekashi tayari ameshaingia mitaa ya New York kushoot video mpya na ndani ya masaa 24 hayo hayo tayari ameiachia video hiyo 'Punani'
Rapper Huyo aliachiwa huru siku ya jana baada ya kutumikia kifungo chake cha nje (nyumbani) kwa miezi minne baada ya kuachiwa mapema kutoka gerezani kwa hofu ya kupata maambukizi ya corona. Ikumbukwe Tu Kuwa Rapper Tekashi 6ix9ine alikamatwa kwa makosa ya uhalifu na kutumia silaha kinyume cha sheria akihusishwa na makosa ya kundi lake la kihuni la kipindi icho
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK