AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimempitisha mwanasiasa Tundu Lissu kuwa mgombea Urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 28 mwaka huu.
Jumla ya wapiga kura ambao ni wajumbe wa Baraza Kuu - 442, Idadi ya kura zilizoharibika - 0, Idadi ya kura halali - 442
1. Tundu Antipas Lissu - 405
2. Lazaro Samuel Nyalandu - 36
3. Dkt. Mayrose Kavura Majinge - 1
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK