AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nyota kutoka Zambia, Larry Bwalya ametangazwa kusajiliwa na klabu ya Simba.
Bwalya mwenye umri wa miaka 25 anayecheza nafasi ya kiungo, anakuja nchini baada ya kukamilika kwa makubaliano baina ya klabu yake, Power Dynamos na Simba huku wakiiacha kwenye mataa Yanga ambayo ilikuwa inatajwa kumuwania hapo awali.
Uwezo wa kiungo huyo kupiga pasi za mwisho, kuchezesha timu, kupiga pasi zinazofikia walengwa kwa usahihi pamoja na kufunga mabao, umeonekana kuishawishi Simba ambayo msimu ujao itashiriki katika Ligi ya Mabingwa Afrika.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK