Breaking News: Larry Bwalya wa Power Dynamos Atua Simba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Nyota kutoka Zambia, Larry Bwalya ametangazwa kusajiliwa na  klabu ya Simba.

Bwalya mwenye umri wa miaka 25 anayecheza nafasi ya kiungo, anakuja nchini baada ya kukamilika kwa makubaliano baina ya klabu yake, Power Dynamos na Simba huku wakiiacha kwenye mataa Yanga ambayo ilikuwa inatajwa kumuwania hapo awali.

Uwezo wa kiungo huyo kupiga pasi za mwisho, kuchezesha timu, kupiga pasi zinazofikia walengwa kwa usahihi pamoja na kufunga mabao, umeonekana kuishawishi Simba ambayo msimu ujao itashiriki katika Ligi ya Mabingwa Afrika.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad