Millard Ayo Atoa ya Moyoni Kuhusu Lady Jay Dee "Kwa Sasa Nina Furaha Sana"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

“Ujue mimi ni muumini mzuri sana wa amani, sipendi bifu za wasanii na media wala sikuwa nafurahia nyimbo za dada yetu kutopigwa Clouds, lakini haya ni mambo ya wakubwa zetu na mimi ni mtu mdogo sana, kwa hiyo nisingeweza kufanya chochote, kwa sasa nina amani na furaha tele kwa dada mkuu Jide kurejea tena kufanya kazi na CMG, ndiyo maana nimefanya naye interview tena kwa furaha sana'' - Millard Ayo ameiambia Global TV
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad