Mshambuliaji wa yanga Yacouba amewasili Tanzania leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



YACOUBA Sogne mshambuliaji wa Yanga amewasili  Tanzania leo Agosti 31 akitokea nchini Burkina Faso.


Sogne anaungana na wachezaji wenzake kambini jumla kwa ajili ya maandalizi ya Ligi Kuu Bara inayotarajiwa kuanza Septemba 6.


Yanga itaanza na mchezo dhidi ya Tanzania Prisons Septemba 6, Uwanja wa Mkapa majira ya saa 1:00 usiku.


Sogne ambaye amesaini dili la miaka miwili amesema kuwa anafurahi kuwa sehemu ya timu na anafurahi kwa mapokezi.



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad