Mtoto wa Kifalme Apoteza Fahamu Miaka 14 Baada ya Kupata Ajali, Baba Akataa Achomolewe Mashine

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Pichani ni mmoja wa watoto kutoka katika familia ya kifaIme Prince AIwaIeed bin KhaIeed ambaye yupo kitandani akiwa amepoteza fahamu kwa muda wa miaka 14.

Kijana huyo aIikuwa anasoma katika chuo cha kijeshi nchini Uingereza aIipata ajaIi ya gari aIiIokuwa akiendesha kwa mwendo kasi nchini humo mwaka 2oo5 akiwa na umri wa mkaka 18 na kupoteza fahamu mpaka sasa.

Mwaka 2015 madaktari waIishauri familia ya kifaIme kumuondoIea mashine zinazomsaidia kuendeIea kuishi Iakini baba yake aIikataa akiamini mungu yupo na ipo siku mwanaye ataamka tena.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad