Ni Sawa Kutumia Mswaki Mmoja na Mpenzi Wako?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ni Sawa Kutumia Mswaki Mmoja na Mpenzi Wako?
Jamani usiombe mapenzi yakakunogea utatamani ugandane na mpenzi wako kila mahala.

Katika kona kona za mapenzi mapenzi leo nimekuta na hii kitu.

Mara nyingi watu wanapokuwa katika mahusiano ya kimapenzi huwa wanaaminiana kupita kiasi hata kama hawakuwahi kuchunguza afya zao.

Hali hii hupelekea wapenzi kuchangia vitu mbali mbali kama nyembe, mswaki,mkasi hata wengine hufikia hatua ya kuchangia pichuu! "ukivaa BOXER yangu na vaa KIBINI yako"

Hapa leo nitahitaji tuongelea kitu kimoja.

Mswaki,hivi ni sahihi wapenzi kuchangia mswaki?

Na kiafya iko vipi, hakuna magojwa yoyote yanayoweka kutokea kwa kuchangia mswaki?

Au matumaini yetu yako juu ya zile dawa za meno tupe Mtazamo wako.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Siyo sahihi kuchangia mswaki wakati miswaki imejaa tele na siyo sahihi kuchangia nyembe, chupi, boxer hivyo ni vifaa kila mtu anatakiwa awe na vifaa vyake, kama wapenzi wanapenda kushilikiana nyembe ni vema kuviweka vifaa hivyo kwenye maji yanayochemka ili kuua bacteria wa magonjwa.

    ReplyDelete
  2. Sio sahihi kabisa kuchangia vitu vyenye ncha kali,hususani sana kwa kipindi hiki ambapo maradhi n mengi

    ReplyDelete

Top Post Ad