Rafiki Yangu Kanivuruga Akili Mnooo Kumuoa Msichana Aliyekuwa Mpenzi Wangu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Anajua Kabisa Yule Alikuwa Shemeji... Tena Hata Kesi Ndogo Ndogo Zilizotuhusu, Niliziweka Wazi Kwake Kwa Ushauri Na Msaada Wa Mawazo

Hata Tuliposhindwana Na Huyu Binti!.... Nilimshirikisha ......Na Kwakuwa Nilishavumilia Na Kuchoka Juu Ya Vitimbi Nilivyoangushiwa Na Huyu Binti, Akaafikiana Nami Kuwa Niachane Naye

Baada Ya Miezi Kadhaa......Cha Ajabu Kinachonishangaza Katika Hii Dunia Ni kupata Habari kuwa rafiki yangu yupo katika maandalizi ya kuoa na Mchumba wake ni yule yule aliyekuwa mchumba wangu siku za nyumba niliyeachana nae..Ki ukweli nimechanganyikiwa napata maswali mengi sana

Je inawezekana walikuwa wapenzi toka zamani ?
Je Rafiki yangu alihusika katika Kuvunja uchumba wetu ili yeye ajichukulie?

Nifanyaje Waungwana?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad