AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tekashi 69 ameanza vimbwanga vyake tena, ameifufua vita kati yake na Rich The Kid.
Jana kupitia akaunti yake ya Instagram, Tekashi aliweka picha inayomuonesha Rich The Kid akiwa na polisi, kisha akaandika "Snitchforever"
Ni kama anauchochea moto hivi, mwezi Mei mwaka huu wawili hao waliingia kwenye vita ya maneno na ilidaiwa kwamba Rich alipita na mpenzi wa Tekashi 69.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK