Tekashi 69 Ameanza Vimbwanga vyake Tena, Amchokoza Huyu Tena...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Tekashi 69 ameanza vimbwanga vyake tena, ameifufua vita kati yake na Rich The Kid.

Jana kupitia akaunti yake ya Instagram, Tekashi aliweka picha inayomuonesha Rich The Kid akiwa na polisi, kisha akaandika "Snitchforever"

Ni kama anauchochea moto hivi, mwezi Mei mwaka huu wawili hao waliingia kwenye vita ya maneno na ilidaiwa kwamba Rich alipita na mpenzi wa Tekashi 69.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad