Wachungaji Maarufu wa Nigeria Wadinda Kufungua Makanisa Licha ya Serikali Kutoa Marufuku, Uhondo Kamili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Serikali ya jimbo la Lagos ilitoa idhini ya kufunguliwa makanisa tena

Kibali hicho kilitolewa licha ya idadi ya maambukizi ya COVID19 kupanda

Makanisa ya wachungaji hao maarufu yamesalia mahame, ibada zikifanyika mitandaoni

Tunde Bakare, Pasta Sam Adeyemi na Prophet TB Joshua ni wachungaji maarufu wa Nigeria waliokataa kufungua tena makanisa yao licha ya serikali kusitisha marufuku hiyo.

Kila mmoja wao alitoa sababu ya kuwafanya kutofungua makanisa hayo.

Prophet TB Joshua

Kiongozi huyo wa makanisa ya SCOAN alieleza kuwa hatafungua makanisa yake hadi pale Mungu anapozunguza naye kuhusu kufanya hivyo.


Mchungaji huyo alieleza kuwa kanisa lake halitafungua hadi pale hali ya kawaida itakaporejea. Kulingana naye, hataki kuhatarisha maisha ya waumini.

Pasta Tunde Bakari

Kiongozi huyo wa makanisa ya Citadel Gloval Community (CGCC) alishangaa ni kwanini serikali iliamua kusitisha marufuku ya kufunguliwa makanisa huku maambukizi ya Corona yakifika kileleni.

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesisitiza kuwa wanasayansi wake wamebuni chanjo ya COVID19 na tayari imeidhinishwa kwa matumizi, mwanawe wa kike akiwa kati ya watu wa kwanza waliopewa chanjo hiyo.

Licha ya maambukizi hayo kuteketeza kote duniani na katika mataifa jirani, Tanzania, serikali ya Tanzania kupitia kwa Ras Magufuli amesisitiza kuwa maradhi hayo hayapo nchini.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad