AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamuziki Akothee amesema alitaka kupata mtoto mwaka huu lakini watu wamemroga ili asiweze kupata mtoto mwingine .
Amesema kwamba mdomo wake wa kusema mipango yake kwa watu ndio sababu iliyomfanya kurogwa. Akothe alikuwa akijibu posti ya mtangzaji wa Runinga Lilian Muli katika instagram aliyekuwa akiwashauri wafuasi wake kuweka siri maisha yao ya kibinafsi na azma zao.
‘Alikasirika’ Esma Platnumz afichua mbona babake Diamond hakuhudhuria harusi yake
“ ilinde na uitnze .waache wakibashiri ,shughuli zako sio za kila mtu’ Lillian aliandika
Miezi michache iliyopita, Akothee alionyesha nia ya kutaka kupata mimba ya mtoto mwingine lakini sio lazima baba mtoto awepo maishani mwake. Alisema hilo lilikuwa tu kwa lengo la kupata mtoto na hakutaka uhusiano wa kudumu. Aliandika;
“I will also have a baby and I don’t want commitment with anyone, I am not ready to settle down, I am still very young, but number six is a must. We the independent women, also have choices (follow me at your own risk). I am looking for baby daddy number six; we won’t date, just a baby, period. No strings attached.”
‘Sitaki kufichwa fichwa kama ARV’s, nataka kuolewa.’ Akothee
Sasa anajutia mbona aliwaambia watu kwa sababu ameshindwa kupata mimba.
“ Kama sasa nilitaka kupata mtoto mwaka huu wa 2020 na nikawaambia sasa wameniroga na siwezi kumuona mwanamme anayeweza kuwa baba ya mtoto huyo’.
Lilian alijibu kwa kumuambia Akothe amuombe mungu na kunyamazia ndoto zake
“ Nimeshi na kujifunza kufunga mdomo wangu’
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK