Watu 9 Wauawa Baada ya Binti Kufuata Dini ya Mpenzi wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Taarifa kutoka Nigeria ni kwamba watu 7 wamefariki dunia na wengine 15 kujeruhiwa vibaya baada ya kutokea vita Kaskazini Magharibi mwa Nigeria baada ya binti mmoja wa Kikristo kubadili dini na kuwa Muislamu.

Tukio hilo lililotokea katika Jimbo la Gwari ambapo binti huyo aliamua kujiunga na dini hiyo ya Kiislamu kutokana na ushawishi wa mpenzi wake, jambo lililosabisha hasira kwa vijana wengine wa Kikristo na kuanza kufanya vurugu na kuanza kuchoma moto nyumba.

Kamanda wa Polisi kwenye eneo hilo Muktar Aliyu ameliambia Shirika la Utangazaji la BBC kuwa mpaka sasa tayari wanawashikilia watu 10 wanaosemekana kuhusika na kisa hicho na uchunguzi zaidi unaendelea.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad