Mbowe Atuma Ujumbe Kwa Magufuli “Umetusaidia”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mwenyekiti wa chama cha demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe amesema chama hicho kina mtumia Rais John Magufuli kama fursa ya kutoa wanachama upupu ndani ya chama hicho.

Akizungumza leo wakati wa mkutano mkuu wa chama hicho unaendelea jijini Dar es salam kwenye ukumbi wa mikutano wa Mlimani City.

“Na sio kweli kuwa Magufuli ni hatari wakati wote, wakati mwingine amekuwa ni fursa kwetu, ametusaidia kutuondolea ule upupu uliobakia kwenye Chama chetu” amesema Mbowe.

Baadhi ya wananchama waliokiama chama hicho na kukimbilia chama cha Mapinduzi (CCM) waliangukia pua kwenye kura za maoni za kuwania ubunge kwenye chama hicho.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Faru Jioni.. Jua linazama na chama.
    Hakikisha Kufuli lina ufunguo ili tufunge mlango wa saccozi.

    NRCC Oyeee. CUF safii

    ReplyDelete

Top Post Ad