AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MZAZI mwenziye na msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’, Faima Msenga ‘Fahyma’ amesema kuwa, watu wanaochukia kazi zake za mavazi kipindi hiki, ipo siku watamkubali tu.
Akizungumza na Risasi Vibes, bishosti huyo alisema siku zote ili ufanikiwe, lazima utakutana na vikwazo vya kila aina, hivyo unatakiwa kuwa mvumilivu na ndiyo maana alivyoshambuliwa mitandaoni kuhusu mavazi yake, hakujali.
“Nashangaa baadhi ya watu wanavyosema kuwa mimi sina damu ya kupendwa, binafsi sijali kuhusu hilo kwa sababu akinipenda Mungu pekee inatosha, halafu ridhiki anatoa Mungu na sio wao, nawaona jinsi wanavyoponda kazi zangu, lakini niwaambie tu kwamba, huu ni mwanzo bado vitu vizuri vinazidi kuja,” alisema Fahyma.
Stori: Memorise Richard, GlobalPublishers
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK