Jiwe kubwa la madini aina ya Snipel lapatikana Morogoro

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Waziri wa Madini Tanzania Dotto Biteko ametangaza good news ya kupatikana kwa jiwe jingine kubwa la Madini aina ya Spinel ambapo limepatikana kupitia kwa Wachimbaji wa madini wa Mahenge.

Biteko ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter “Hongereni sana Wachimbaji Mahenge, hili jiwe kubwa la Spinel limepatikana tena, JPM alisema ni wakati wenu, Asanteni sana kwa kuchapa kazi.. JPM2020 #KaziIendelee”

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad