JPM Amvulia Kofia Alikiba Na Kumvalisha Kama Diamond

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli ameshindwa kujizuia na kuamua kumwita msanii wa Bongo Fleva, Alikiba, meza kuu kisha kuvua kofia yake na kumvisha mwanamuziki huyo.


Magufuli amefanya hayo leo Jutano, Septemba16, 2020, wakati Alikiba alipokuwa akitumbuiza kwenye kampeni za Magufuli katika Viwanja Vya Gymkhana Bukoba mjini.


 

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad