Kimenuka..Nigeria Yalipa Kisasi Kwa Nchi Zilizozuia Ndege zake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Nigeria imepiga marufuku Mashirika ya Ndege kutoka nchi kadhaa kuingia nchini humo kuanzia Septemba 5

Nigeria imeweka wazi kuwa hatua hiyo ni kisasi kwa nchi ambazo zimezuia Mashirika ya Ndege ya Nigeria kuingia katika Nchi zao

Mashirika ya Ndege yaliyozuiwa ni pamoja na Air France, KLM kutoka Uholanzi, Lufthansa kutoka Ujerumani na Etihad Airways ya Falme za Kiarabu

Abiria wa Nchi hizo wataruhusiwa kuingia Nigeria kwa masharti makali

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad