Kuzaa Kulivyoigharimu Afya ya Muigizaji Sarafina......

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kuzaa Kulivyoigharimu Afya ya Muigizaji Sarafina......
Leleti Khumalo maarufu kama ‘Sarafina’ mzaliwa wa Afrika Kusini ambaye alizaliwa March 30,1970 na alipata umaarufu baada ya kuigiza filamu ya Sarafina mwaka 1992 na filamu hiyo kutambulika kimataifa hadi kumpatia tuzo mbalimbali.

Filamu hiyo inayohusu msichana (Sarafina) aliyekuwa na msimamo wa kuitafuta haki bila uwoga na kusimama katika maandamano dhidi ya ubaguzi wa rangi uliokuwa ukifanywa nchini Afrika Kusini.


Leleti kwa sasa aanasumbuliwa na ugonjwa wa ngozi unaofahamika kwa jina la Vitiligo ambao umeathiri sehemu kubwa ya ngozi yake ikiwemo usoni na mikononi.

Kutokana na mahojiano mbalimbali aliyowahi kufanya na vipindi tofauti vya habari Leleti alisema kuwa kwa mujibu wa madaktari walimuambia kuwa endapo atafanya maamuzi ya kuzaa basi ugonjwa huo utaathiri sehemu kubwa ya ngozi yake, lakini Leleti hakujali hilo na aliamua kupata watoto.Kwa sasa Leleti ana watoto wawili mapacha aliozaa na mfanyabiashara Skhutazo Winston Khanyile.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. So you took a lot of pictures and a lot of your friends are saying that you are good at it. However, you're tired of just receiving a lot of praise because what you really wanted is to make money out of your talent. You then keep on thinking on how to start a photography business. photobooth

    ReplyDelete

Top Post Ad