Mkenya Peres aweka rekodi katika mbio za nusu marathon

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mwanariadha wa Kenya Peres Jepchirchir ameweka rekodi ya dunia katika mashindano ya mbio za nusu marathon kwa wanawake kwa kutumia saa 1, dakika 5 na sekunde 34. 

Jepchirchir mwenye umri wa miaka 26 ameibuka na ushindi huo katika mchuano uliofanyika Asubuhi ya leo katika uwanja wa Letna Park katika mji mkuu wa jamhuri ya Czech, Prague.


 Rekodi ya awali ambayo ilikuwa ya saa 1, dakika 6 na sekunde 11, iliwekwa mwaka 2018 na Netsanet Gudet wa Ethiopia. Rekodi hiyo iliwekwa katika mchuano wa kutafuta bingwa wa nusu marathoni uliofanyika Valencia, Uhispania.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad