Mtwara: Baba, Mtoto Wafariki Ajalini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



WATU watano wakiwemo baba na mtoto, wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyohusisha mabasi mawili ya abiria, baada ya kugongana uso kwa uso katika Kijiji cha Msanga Kata ya Mtesa wilaya Newala mkoani Mtwara.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Mark Njera, amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo jana majira ya saa sita mchana. Miili ya marehemu imehifadhiwa katika hospitali ya Wilaya ya Newala na majeruhi pia wamelazwa katika hospitali hiyo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad