Mwigizaji JB Afanikiwa Kupunguza Uzito Kwa Kilo 15

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa Filamu nchini, Jacob Steven maarufu JB ameeleza kuanza mpango wake kupunguza unene.
Kupitia ujumbe wake kwenye ukurasa wake wa Instagram, JB ameeleza kuwa tayari amefanikiwa kupunguza uzito kwa Kilo 15.

“Ndugu zangu nimefanikiwa kupungua kilo 15, lakini director wangu anataka nipungue kilo 20 zaidi kwa ajili ya msimu mpya wa Single Mama Series . Mnasemaje japo natamani kuwa na SIX packs na mimi, tuingie kwenye vyuma ama tuishie hapa???” ameandika #JB.

Ikumbukwe, kwenye moja ya mahojiano yake JB alikiri kwamba kuna wakati unene wake humtesa na hivyo hutamani apungue kwani humsumbua katika Mavazi
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad