AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyekuwa Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha na kuachiwa kwa dhamana.Kesi inayomkabili itatajwa tena Sepetemba 21 mwaka huu.
Kubenea anatuhumiwa kuingiza fedha za kigeni bila kutoa tamko na kuingia nchini kinyume cha sheria ya uhamiaji.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK