ACT-Wazalendo Waandika Barua Kwa Msajili Kuhusu Kukoma Kikatiba Kwa Uanachama wa Zitto Kabwe na Maalim Seif

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Wanachama wa ACT-Wazalendo, Crytus Adrian Kabete na Nasma Ramadhan Assedy wamemuandikia barua Msajili wa Vyama kuhusu Zitto Kabwe na Maalim Seif kukosa sifa za kuwa wanaACT-Wazalendo

Wanachama hao wa ACT-Wazalendo wamesema Maalim Seif na Zitto wamekosa sifa ya kuwa wanachama kwa kuwa Katiba yao Ibara ya 13 (4) ambayo inasema Mwanachama atapoteza sifa akiunga mkono chama kingine


Wamesema maamuzi ya ushirikiano na Vyama vingine vya Siasa kwa mujibu wa Katiba ya ACT-Wazalendo ni lazima ufanywe na Mkutano Mkuu wa Taifa na chombo hicho hakiwezi kukasimisha madaraka hayo kwa chombo kingine


Wameandika kuwa, katika mambo ambayo Zitto na Maalim wamefanya hakukuwa na Mkutano Mkuu wa Taifa uliofanyika

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad